UTOAJI WA TAARIFA ZA UKIUKWAJI WA MAADILI

Wananchi wanahimizwa kutoa taarifa zinazohusu ukiukwaji wa maadili kwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato ili kuiwezesha Menejimenti kuchukua hatua stahiki. Taarifa zitakazotumwa zitakwenda moja kwa moja kwa Kamishna Mkuu na hazitatolewa kwa mtu au ofisi isiyohusika.

FOMU YA KUTOA TAARIFA ZA UADILIFU

MAELEZO BINAFSI YA MTOA TAARIFA
1 Jina la mtoa taarifa (Hiari)
2 Namba ya simu ya kiganjani
3 Anwani ya barua pepe
4 Mkoa
TAARIFA ZA UVUNJIFU WA MAADILI
5 Idara husika (kama unaifahamu)
6 Kituo cha kazi cha mtumishi/Watumishi ( kama unakifahamu)
7 Jina la mtumishi/watumishi wanaohusika(kama linafahamika)
8 ANDIKA MAELEKEZO KUHUSU TAARIFA YAKO YA UVUNJIFU WA MAADILI HAPA
Enter Text
Captcha


2024 © TANZANIA REVENUE AUTHORITY. All Rights Reserved.